PASTORS' SONS AND DAUGHTERS ASSOCIATION
PSDA NI UMOJA WA WATOTO WA WACHUNGAJI WA KANISA LA ANGLIKANA KATIKA DAYOSISI YA MOROGORO TANZANIA. PSDA IS AN INDEPENDENT UNION OF PASTORS' SONS AND DAUGHTERS OF ANGLICAN CHURCH IN THE DIOCESE OF MOROGORO
flash heading
New photo
Saturday 14 January 2017
Sunday 27 November 2016
PSDA VISION MISSION AND OBJECTIVES
VISION/ MAONO
KUWA UMOJA WA MFANO KATIKA KUTAMBUA FURSA NA KUZITUMIA FURSA TULIZONAZO KATIKA UJENZI WA HEKALU NA MUNGU NA JAMII BORA.
MISSION/MPANGO:
KUTUMIA WATOTO, VIJANA, NA WATU WAZIMA KATIKA UMOJA ULIO MAHUSUSI KATIKA KUPAMBANA NA CHANGAMOTO ZA KIROHO NA KIJAMII
OBJECTIVES/ MALENGO
KUWA UMOJA WA MFANO KATIKA KUTAMBUA FURSA NA KUZITUMIA FURSA TULIZONAZO KATIKA UJENZI WA HEKALU NA MUNGU NA JAMII BORA.
MISSION/MPANGO:
KUTUMIA WATOTO, VIJANA, NA WATU WAZIMA KATIKA UMOJA ULIO MAHUSUSI KATIKA KUPAMBANA NA CHANGAMOTO ZA KIROHO NA KIJAMII
OBJECTIVES/ MALENGO
- Kufahamiana kama wana wa kristo katika kujenga mwili wa kristo.
- Kujengana kimwili,kiroho kiuchumi na kijamii.
- Kutambua, kuibua, kupandisha na kuvitangaza vipaji mbalimbali miongoni mwetu na kuviendeleza
- Kutambua changamoto zetu zetu na kuzitafutia ufumbuzi kwa pamoja
- Kutambua fursa tulizonazo na kuzitumia
- Kujenga uhusiano na watoto wa wachungaji wa kianglikana kutoka madayosisi mbalimbali.
- Kutumia rasilimali watu katika huduma ya mungu.
- Kutoa huduma za jamii yote hususani vijana wasiojiweza na waliokata tamaa
Thursday 20 October 2016
Wednesday 19 October 2016
Subscribe to:
Posts (Atom)