KUWA UMOJA WA MFANO KATIKA KUTAMBUA FURSA NA KUZITUMIA FURSA TULIZONAZO KATIKA UJENZI WA HEKALU NA MUNGU NA JAMII BORA.
MISSION/MPANGO:
KUTUMIA WATOTO, VIJANA, NA WATU WAZIMA KATIKA UMOJA ULIO MAHUSUSI KATIKA KUPAMBANA NA CHANGAMOTO ZA KIROHO NA KIJAMII
OBJECTIVES/ MALENGO
- Kufahamiana kama wana wa kristo katika kujenga mwili wa kristo.
- Kujengana kimwili,kiroho kiuchumi na kijamii.
- Kutambua, kuibua, kupandisha na kuvitangaza vipaji mbalimbali miongoni mwetu na kuviendeleza
- Kutambua changamoto zetu zetu na kuzitafutia ufumbuzi kwa pamoja
- Kutambua fursa tulizonazo na kuzitumia
- Kujenga uhusiano na watoto wa wachungaji wa kianglikana kutoka madayosisi mbalimbali.
- Kutumia rasilimali watu katika huduma ya mungu.
- Kutoa huduma za jamii yote hususani vijana wasiojiweza na waliokata tamaa